Posts

Kihembe Herbalist.

Karibu Kihembe herbalist bingwa wa tiba asili, anatumia tiba asili kutibu magonjwa mbalimbali ikiwemo upungufu wa nguvu za kiume, magonjwa ya kupooza, vidonda vya tumbo, pamoja, matatizo ya ugumba, mabusha bila upasuaji. Kwa mawasiliano zaidi piga simu namba +255 756 726 865 au WhatsApp namba +255 716 096 205

MLONGE NIDAWA NZURI SANA, INATIBU MAGONJWA ZAIDI YA 300

Image
 Mlonge ni mti maarufu sana Duniani kote hata hapa kwetu Tanzania husussani mkoa w Kigoma. Wao hutumia kama dawa ya kuteguka, maumivu ya mwili au miguu, tumbo na hutumika zaidi kwa matumizi ya kivuli. Ziko aina nyingi za mti wa Mlonge, lakini zinazofahamika sana ni zile aina saba za mlonge zilizo maarufu kati ya 13 zilizopo  ; Mlonge Drouhardi – Madagascar Mlonge Longituba – Ethiopia Mlonge Ovalifolia – Angola na Namibia Mlonge Concanensis – Inayostawi zaidi India na katika nchi za Afrika Kaskazini. Moring Stenopetala – Inayostawi zaidi katika nchi za Ethiopia na kaskazini mwa Kenya Moringa Peregrina – Inayostawi zaidi Sudani, Misri, Syria (Peninsula) Uarabuni na Kaskazini mwa bahari ya Shamu. Mti wa Mlonge hutibu Magonjwa mengi sana yanayomsumbua binadamu na baadhi ya Magonjwa hayo ni kama ifuatavyo :- Kisukari Ugumba Tatizo la Figo Tatizo la Moyo kuwa mkubwa Kupata maumivi unapokutana na Mwanamke/Mwanaume Mapele sehemu za siri Tatizo la Miguu na Magoti Maumivu y

Kitunguu Swaumu hutibu magonjwa 30

Image
Mungu anaposema watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa hamaanishi maarifa ya kutengeneza au kuendesha ndege, ni maarifa ya kawaida tu katika maisha yetu ya kila siku ambayo yanaweza kubadilisha afya na ustawi wetu. Moja ya mmea ambao umependelewa sana na Mungu kwakuwa na viinilishe vingi na mhimu sana kwa afya ya binadamu ni kitunguu swaumu. Kitunguu swaumu ni dawa karibu kwa kila ugonjwa. Kitunguu swaumu ni jamii ya vitunguu ambayo kwa kitaalamu huitwa Allium sativum. Jamii hii ilianza kutumika katika mabara mbalimbali duniani hususani Asia, Afrika na Ulaya takribani miaka 6000 iliyopita. Matumizi makuu nyakati hizo yakiwa viungo katika mboga na tiba. Kitunguu swaumu kimetajwa kwenye vitabu mbalimbali vya dini vikielezea faida zake katika kutibu maradhi mbalimbali yasababishwayo na bakteria, matatizo katika mapafu, matatizo katika mfumo wa umen’genyaji chakula, na matatizo ya kuishiwa nguvu. Historia inaonyesha kuwa, vitunguu swaumu vilianza kutumika nchini China mwaka 510 k

JE, UNA DALILI HIZI? (Kushindwa kurudia tendo la ndoa)

Image
JE, UNA DALILI HIZI? (Kushindwa kurudia tendo la ndoa) (Kutojiskia hamu ya tendo la ndoa) (Maumivu ya kiuno mgongo) (Tumbo kuunguruma na kujaa ges) (Uume kusinyaa na kuingia ndan na kuwa mdogo au mfupi) (Korodani moja kuvimba) Kama dalili hizi unazo upo kwenye hatari ya kuishiwa nguvu za kiume kabisa,kwa matibabu tumia OZYMIX POWER dawa bora ya nguvu za kiume ya miti shamba ambayo haina kemikal ambayo itakuwezesha kurudia tendo LA ndo zaidi ya Mara tatu bila hamu kuisha PIA KUNA DAWA YA KUNENEPESHA NA KUREFUSHA MAUMBILE YA KIUME DAWA ZA KIKE ZA KUTENGENEZA SHEPU (Kusimamisha maziwa yaliyolala) (Kuongeza makalio) (Kuondoa michirizi) (Kumrudisha mwanaume aliekuacha au Asie kupa hela) KWA MAWASILIANO ZAIDI 0716096205 au FIKA OFISIN au piga simu utaletewa dawa popote ulipo daresalam KWA MIKOANI TUNATUMA KWA NJIA YA MABASI

DAWA YA MAAJABU INAYO TIBU KUPOOZA YAPATIKANA.

Image
Tiba ya maajabu inayotibu wanamichezo Na Mwandishi Wetu KWA muda mrefu tiba mbadala ilikuwa ikipewa kisogo au kuonekana kama ya watu fulani ambao hawakwenda shule na wanaoamini mno katika mambo ya ushirikina. Lakini mabadiliko ya sayansi na teknolojia, pamoja na chunguzi mbalimbali za mabingwa wa syansi,bado magonjwa kadhaa yameshindwa kupata suluhisho la kudumu. Wengi wameishia kujikuta wanapata ulemavu wa kudumu au hata kupoteza maisha, kutokana tu, tiba za kisasa kushindwa kuwapa ufumbuzi zaidi ya kuambiwa wasubiri miujiza tu kwa kupona kwao. Tumeshuhu

DAWA BORA YA NGUVU ZA KIUME.

Image
Ukosefu wa nguvu za kiume Baadhi ya mambo yafuatayo husababisha tatizo hili kutokea. Dawa: Wakati mwingine tatizo hili husababishwa na matumizi ya baadhi ya dawa. Baadhi ya wanaume wa makamo huwa katika hatari ya kupata maradhi ya aina mbalimbali yanayowafanya wajikute wakitumia dawa za aina mbalimbali kwa wakati mmoja zinazoweza kuathiri nguvu za kiume.Hata hivyo, unapokuwa unatumia dawa na ukaanza kuhisi unapungukiwa nguvu za kiume, si suala la kuzilalamikia dawa hizo kwanza, isipokuwa unatakiwa kujaribu kuziacha na kusubiri kwa wiki sita uangalie kama tatizo hilo litakuwa limekwisha au linaendelea kuwepo.Inakadiriwa kuwa asilimia 25 ya wanaume wenye tatizo hili, husababishwa na matumizi ya dawa. Magonjwa: Magonjwa mshipa ya damu hasa ile ya arteri inayopeleka damu safu kwenye uume huasababisha tatizo huli. Pia magonjwa kama shinikizo la juu la damu, ongezeko la cholesterol mwilini, ugnjwa wa kisukari, na uvutaji sogara kupita kiasi, huchangia kutokea kwa tatizo hili.Matatizo ya mish

DAWA BORA YA KUONGEZA CD4 YAPATIKANA

Image
AZOX DAWA YA KUONGEZA KINGA MWILINI NA CD4 AZOX ni dawa ya kuongeza CD4, inatokana na mchanganyiko wa miti aina ya NGUMO na NTOBO.Virusi vya Ukimwi (VVU) hudhoofisha nguvu za mwilikujikinga na maradhi nyemelezi. Mgonjwa hushambuliwa na maradhi kwa sababu kinga mwilini imepungua. Azox husaidia kuongeza kinga mwilini na kupunguza makali ya Ukimwi. ZINGATIA;Siyo watu wote wenye maambukizi ya Ukimwi wanalazimika kuanza kutumia lishe ya kuongeza CD4 na kupunguza makali ya Ukimwi.Utaanza tu kutumia kwa kutegemea hali ya afya yako, idadi ya hembechembe za CD4. AZOX NI NINI ? Ni dawa zenye uwezo wa kupunguza makali ya VVUmwilini. Huongeza kinga mwilini na kumpa mgonjwa nafuu kwa kumpa nguvu ya kufanya shughuli zake kama kawaida. Ikiwa kinga itapungua sana na kuanza kushambuliwa mara kwa mara na maradhi nyemelezi, unashauriwa uanze kutumia AZOX. Baada ya kufanya majaribio kwa muda mrefu sasa yaonesha mafanikio 90% itakufanya uwe na nguvu kwa muda mfupi sana mwenye afya njema . Itumie sasasa wen